Bata bukini na Mayai ya Dhahabu.Hapo zamani za kale, kulikuwa na Mkulima ambaye hakupenda kufanya kazi.Siku moja, alienda kuangalia Bata bukini yake. Ndani ya kiota, aliona yai la dhahabu! The Goose With The Golden Eggs. Swahili books for kids, children's books in Swahili.