Mondadori Store

Trova Mondadori Store

Benvenuto
Accedi o registrati

lista preferiti

Per utilizzare la funzione prodotti desiderati devi accedere o registrarti

Vai al carrello
 prodotti nel carrello

Totale  articoli

0,00 € IVA Inclusa

Juma Kilaza Nguli wa Muziki Toka Mji Wenye Sifa ya Mpira na Muziki

Anthony Marwa
pubblicato da Marwa

Prezzo online:
0,00

Juma Ramadhan Magola Kilaza (Magola wa Chumbi), ambaye alijulikana zaidi kwa jina Kilaza ambalo ni jina la ukoo, ni mmoja kati ya wanamuziki bora kuwahi kutokea Tanzania. Mwanamuziki huyu, alianza kupiga muziki kwenye miaka ya 1960. Katika Maisha yake, alishiriki katika bendi za Morogoro jazz, Cuban Marimba, TK Lumpopo, Magola International na Les Cuban, zote za Morogoro akishiriki kupiga muziki unaojulikana zaidi kama muziki wa dansi ama rumba. Kitabu hiki, kinasimulia maisha yake kimuziki, mchango wake katika kukuza lugha ya Kiswahili, kuelimisha, kuburudisha, kuliwaza na kukuza sifa ya Morogoro. Kitabu pia, kinasimulia changamoto alizopitia, na visa vilivyovuma sana kati yake na mwanamuziki mwingine maarufu wa Morogoro Mbaraka Mwinshehe Mwaruka.

Dettagli down

Generi Arte Beni culturali e Fotografia » Forme d'arte e tecniche artistiche » Graffiti, arte elettronica, videoarte, installazioni

Editore Marwa

Formato Ebook (senza DRM)

Pubblicato 19/12/2023

Lingua Swahili

EAN-13 9798215951231

0 recensioni dei lettori  media voto 0  su  5

Scrivi una recensione per "Juma Kilaza Nguli wa Muziki Toka Mji Wenye Sifa ya Mpira na Muziki"

Juma Kilaza Nguli wa Muziki Toka Mji Wenye Sifa ya Mpira na Muziki
 

Accedi o Registrati  per aggiungere una recensione

usa questo box per dare una valutazione all'articolo: leggi le linee guida
torna su Torna in cima