Kijani aliyewika Mbwa mwitu.Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijana aliyeitwa Joe. Alikuwa mchunga kondoo. Alichunga kondoo za kijiji. Babake Joe akamwambia, "Kama mbwa mwitu anakuja, kimbia kijijini na wika, 'Mbwa mwitu! Mbwa mwitu!'"Joe alipenda kufanyia watu mzaha. Na mara kwa mara alisema uongo. The Boy Who Cried Wolf. Swahili books for kids, children's books in Swahili.