Nakumbuka ilikuwa mida ya saa saba usiku ikiwa nimelala nikasikia watu wanaongea kwa mbali nikiwa usigizini huku nikizani ninaota gafla nilisikia sauti hizo zikizidi kuongezeka nikashituka toka usingizini na kukaakitandani.
Wakati natafakari hivi ni maluwe au ni kweli nikasikia zile sauti tenaaa ndipo nikaamini hii si ndoto ndipo nikaamuka na kuisikiliza vizuri ile sauti ya ajabu inatokea wapi ndipo nikabaini kuwa sauti ile inatokea nje yaani uwanjani kwa kuwa mimi nilikuwa na lala gorofani ..>
ndungu zangu waliniomba niondoke kwenye ile nyumba mimi nikawaambia ile nyumba nitaigeuza kanisa siku si nyingi ...?
ndungu zangu waliniomba niondoke kwenye ile nyumba mimi nikawaambia ile nyumba nitaigeuza kanisa siku si nyingi
fwatilia kisa hiki cha hausigeli na kamati ya wachawi ..